Afrika Ya Mashariki - Vitendo viovu vya ulaji nyama ya binadamu nchini Uganda

Share:

Listens: 0

Afrika Ya Mashariki

Miscellaneous


Makala ya kwanza kabisa mwaka huu wa 2017 tunaanzia nchini Ugandaambapo tutaangazia  vitendo viovu vya ulaji nyama ya binadamu. Kusini mwa Uganda kwenye wilaya za Rakai, Kyotera na nyinginezo watuwanakamatwa, wanachinjwa na kuliwa nyama na binadamu wenzao.