Mahakama kuamua hatma ya mchakato wa BBI nchini Kenya

Share:

Listens: 0

SBS Swahili - SBS Swahili

Miscellaneous


Mahakama ya rufaa nchini Kenya imeamuru mchakato wakubadili katika wa BBI isikizwe 2 Juni 2021, wahusika wote katika kesi hiyo wakitakiwa kufika mahakamani.