Mjadala wa Wiki - DRC yampata Waziri Mkuu baada ya kusubiri miezi mitano

Share:

Listens: 0

Mjadala wa Wiki

Miscellaneous


Hatimaye rais wa DRC Felix Tshisekedi amemteua Sylvestre Ilunga kuwa Waziri Mkuu. Hii inakuja baada ya mashauriano ya muda mrefu kati ya rais huyo na mwenzake wa zamani Joseph Kabila. Matarajio ya raia wa DRC ni nini ?