Mlipuko wa Volcano wasababisha maafa na uharibifu mkubwa Goma

Share:

Listens: 0

SBS Swahili - SBS Swahili

Miscellaneous


Mlipuko wa volkano katika jimbo la Kaskazani Kivu, Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, ume wauwa watu 15, nakuharibu zaidi ya nyumba 500.