Miscellaneous
Katika makala ya wiki hii tumeangazia kuhusu shambulio lililotekelezwa na wanamgambo wa al-Shabaab dhidi ya kambi ya simba huko Lamu pwani ya Kenya, wiki hii serikali ya DR Congo kukifunga chuo kikuu cha Kinshasa kufwatia vurugu zilizojitokeza ambapo askari polisi mmoja aliuawa na mahusiano kati ya Rwanda na Uganda yaanza kuboreka, kimataifa mvutano kati ya Iran na Marekani washika kasi mpya