Mti unapoanguka… - Kukatwa kwa misitu barani Afrika

Share:

Listens: 0

Noa Bongo – Uchumi na Mazingira

Education


Afrika ina kiwango kikubwa cha ukataji misitu kuliko mabara mengine yote duniani. Hili lina athari kubwa kwa maisha ya Waafrika kama hawa katika mchezo wetu wanaoishi katika kambi ya wakimbizi baada ya vita vya kikatili.