Ngano za Afrika – Kipindi 08 – Bundi na Nyenje

Share:

Listens: 0

Learning by Ear – Elimu ya Jamii

Society & Culture


Siku moja bundi mzee na nyenje kijana wanakuwa majirani. Mwanzoni wanafurahia kuishi kwa pamoja, lakini kadri muda unavyopita bundi anakasirika na nyenje anavunjika moyo. Watafanya nini?