Ngano za Afrika – Kipindi 10 – Tumbiri na Kobe

Share:

Listens: 0

Learning by Ear – Elimu ya Jamii

Society & Culture


“Wanaopata, wanaoweka. Anayepata kitu fulani njiani anaruhusiwa kukimiliki” Je, ni rahisi namna hiyo kila mara? Sikiliza hadithi ya kobe na tumbiri mjanja aliyelazimika kupata adhabu kuokoa mkia wake!