Miscellaneous
Kutana na msichana wa mwaka wa tatu Chuo kikuu cha Dar es salaam,Nasma Mzee akichukua Shahada ya Kwanza ya Sanaa na Ubunifu aliyechagua kuwa Mchoraji ili kuwasilisha Maudhui ya Sanaa aliyosomea. Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Nasma Mzee.