Taarifa ya Habari 8 Juni 2021

Share:

Listens: 0

SBS Swahili - SBS Swahili

Miscellaneous


Serikali ya Magharibi Australia yawaruhusu, watu wenye kati ya miaka 30 hadi 49, kupokea chanjo ya coronavirus kuanzia Alhamisi na mamlaka wa afya wa Victoria, wazingatia kuregeza vizuizi jimboni humo.