Wahamiaji waondoka Australia kwa sababu ya sheria za mipaka

Share:

Listens: 0

SBS Swahili - SBS Swahili

Miscellaneous


Uamuzi wa serikali ya madola kutofungua mipaka yakimataifa hadi katikati ya mwaka ujao, umekuwa pigo la mwisho kwa wahamiaji wengi ambao wamesema, hawawezi subiri hadi wakati huo kuwaona jamaa wao ng'ambo.