Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Kwa mara nyingine nchi ya Somalia imetangaza kuahirisha uchaguzi wake ambao ulikuwa umeratibiwa kuanza siku ya Jumapili. Hatua hii inakuja baada ya ju...
Michezo iliyocheleweswa ya Olimpiki kutokana na janga la Covid 19 inafungua milango yake jijini Tokyo nchini Japan, nini thathmini yako na matarajio y...
Italia iliishinda Uingereza katika fainali dhidi ya Uingereza kuwania taji la soka barani Ulaya. Maoni yako ni yepi kuhusu ushindi huu na unazungumzia...
Jeshi la Ethiopia baada ya kujiondoa kwenye jimbo la Tigray, linasema wapiganaji wa jimbo hilo sasa sio tishio tena, lakini wapiganaji hao wameapa kue...
Burundi imeendelea kushuhudia mashambulizi dhidi ya raia, kama ilivyoshuhudiwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkoa wa Muramvya na kusababisha vifo...
Mwishoni mwa juma lililopita rais wa Rwanda na mwenzake wa DRC walikutana katika mpaka wa nchi zao na kukubaliana kuimarisha ushirikiano wao ambao kwa...
Mabingwa wa Dunia katika mchezo wa soka Ufaransa wameondolewa kwenye michuano ya Euro pamoja na Mabingwa watetezi Ureno. Unafikiri timu gani itashinda...
Mataifa mengi barani Afrika, yanakabiliwa na wimbi la tatu la maambukizi ya Covid 19, huku Shirika la afya duniani WHO, likitaka utoaji wa chanjo kuen...