BARAZA LA NCCK LAAHIDI KUENDELEZA UJUMBE WA AMANI MIGORI

Share:

Listens: 17

Voice Of Philip Miyawa

News & Politics


Baraza la kitaifa la makanisa hapa nchini NCCK tawi la Migori  limeahidi kuendelea na juhudi zake za kuubiri amani katika kaunti hiyo wakati huu ambapo taifa linaelekea uchaguzi mkuu.