Mjadala wa Wiki - Machafuko nchini Sudan, maafa na majeruhi yaripotiwa

Share:

Listens: 0

Mjadala wa Wiki

Miscellaneous


Wiki hii, uongozi wa kijeshi nchini Sudan, uliamua kuvunja kambi ya waandamanaji jijini Khartoum ambao wamekuwa wakishinikiza jeshi kukabidhi madaraka kwa raia.Watu zaidi ya 60 walipoteza maisha na mamia kujeruhiwa. Nini hatima ya Sudan ? Tunajadili.