Wimbi la Siasa - DRC yampata rais mpya, historia yaandikwa

Share:

Listens: 0

Wimbi la Siasa

Miscellaneous


DRC imempata rais mpya, Felix Thisekedi. Nchi hiyo ya Afrika ya Kati imeshuhudia ubadilishanaji wa madaraka kwa njia ya amani kwa mara ya kwanza tangu ilipopata uhuru mwaka 1960. Tunajadili hili kwa kina.