Miscellaneous
Kwa mara nyingine nchi ya Somalia imetangaza kuahirisha uchaguzi wake ambao ulikuwa umeratibiwa kuanza siku ya Jumapili. Hatua hii inakuja baada ya juma lililopita, kundi la kiislamu la Al shabaab kuwaonya wanasiasa dhidi ya kushiriki katika uchaguzi huo. Nini maoni yako kuhusu hatua hii? Haya hapa maoni yako.