Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Kenya yataka mataifa jirani kuheshimu mipaka yake

Share:

Listens: 0

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Miscellaneous


Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutaka mipaka ya nchi yake kuheshimu mipaka ya nchi yake, Tanzania kuanza kupokea chanjo na sakata la Pegasus.