Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutaka mipaka ya nchi yake kuheshimu mipaka ya nchi yake, Tanzania kuanza ...
Makala hii imeangazia mpango wa Umoja wa Ulaya kuiondolea vikwazo nchi ya Burundi, Waziri wa mambo ya nje wa Burundi Albert Shingiro na balozi wa Clau...
Makala ya wiki hii imeangazia ziara ya rais Felix Tshisekedi wa DRC katika eneo la mashariki ya nchi yake, lakini pia huko Zambia maombolezo ya kitaif...
Mawaziri wa fedha kutoka mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, alhamisi ya juma hili baadhi waliwasilisha bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwenye...
Makala ya wiki hii imeangazia kuhusu hatua ya serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kutangaza kutokea kwa wimbi la tatu la maambukizi ya virusi...
Makala ya wiki hii imezungumzia kuhusu ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, nchini Rwanda, ziara inayolenga kufufua na kuboresha mahusiano ya ki...
Makala ya juma hili imeangazia kuapishwa kwa jaji Mkuu mpya wa Kenya Martha Koome ambaye ameweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kushikilia wadhif...
Makala hii imeangazia kuapishwa kwa rais wa Uganda Yowezi Museveni, nchini Kenya mchakato wa kuifanyia katiba mabadiliko wakwamishwa na mahakama kuu, ...
Makala hii imeangazia hatua ya viongozi wa Kenya na Tanzania ya kuwahakikishia wafanyibiashara wa nchi hizo mbili kuimarisha mazingira ya kufanya bias...