Miscellaneous
Katika makala hii, tumeangazia maambukizi ya virusi vya Corona nchini China kuendelea kuzua hofu kubwa huku ulimwengu ukihamasika katika kupambana navyo, huko DR Congo mauaji yaliendelea huku maafisa wa serikali wakiahidi kuimarisha usalama kuzuia mauaji yanayotekelezwa na waasi wa ADF. Kimataifa, Uingereza yajivua uanachama wake rasmi katika umoja wa ulaya, pia mchakato wa kumwondoa rais wa Marekani Donald Trump kushika kasi.