Taarifa ya Habari 31 Oktoba 2021

Share:

Listens: 0

SBS Swahili - SBS Swahili

Miscellaneous


Kiongozi wa chama cha Nationals ambaye pia ndiye kaimu waziru mkuu Barnaby Joyce, ameweka wazi baadhi ya taarifa ambayo chama chake kili afiki na chama cha Liberal, kuafiki kupunguza uzalishaji wa hefa chafu kwa kiwango cha sufuri kufikia mwaka wa 2050, ambayo ilijumuisha uwekezaji kwa kanda kusaidia katika mageuzi hayo.