Huko Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika ambako huko kwa kipindi kirefu sasa njaa na ukame vimekuwa tatizo kubwa. Mwezi uliopita wa Januari shirika la...
Miongoni mwa yaliyomo Leah Mushi amefanya mazungumzo na Dokta. Paul Mutungi Afisa wa mashinani wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, F...
Mashindano ya michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi kali yakianza Ijumaa ya tarehe 4 mwezi huu wa Februari mwaka 2022 huko nchini China, Katibu Mkuu...
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR linaendelea kufanya kila jitihada kuwasaidia wakimbizi na raia wa Lebanon ambao wanakabiliana...
Ukame mkali katika maeneo ya nyanda za chini huko Ethiopia uliosababishwa na mvua kutonyesha katika misimu mitatu mfululizo umekausha visima vya maji,...
Ufugaji na kilimo ni moja ya mambo mtambuka ambayo yakifanikiwa yanachangia katika kufanikisha idadi kubwa ya malengo ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo...
Miongoni mwa yaliyomo UNICEF yasaidia familia zinazokabiliwa na ukame na utapiamlo katika maeneo ya nyanda za chini nchini Ethiopia uliosababishwa na ...
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO limetoa ripoti mpya inayoonesha kuwa mifumo ya usimamizi wa taka za afya duniani kote hivi sasa imezi...
Tathmini mpya ya uhakika wa upatikana wa chakula iliyotolewa mwishoni mwa mwezi Januari 2022 na Shirika la Umoja wa Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chak...
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO linasema ingawa teknolojia ya ufugaji wa Samaki nchini Zimbabwe imekua bado lengo la kufanikisha...